Recent content by manka81

  1. manka81

    Aisee...Kwangu! Mwanamke ni Sura Nzuri na Figure bomba Baasiiii...

    Niko poa umenikumbuka ee santeee
  2. manka81

    Miss CHIT-CHAT NOVEMBER: Pendekeza Majina sasa!

    1 shansarie 2 Chocs 3 mwaallu 4 shansarie
  3. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    udaktari hauna kufoj kaka na ukifoji tu ipo siku utakamatwa.kinacho wasumbua afya kufanya vibaya ni kutokufuata ethicks za kazi badala yake wanafanya mazoea
  4. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    mbona wenzetu wa mbele wanaweza hii elimu ya kuishia darasa la nane na then highschool na ukitoka hapo unaweza kwenda diploma na hao hao ndo wanakuja kutuibia nchi yetu wakidai wanawekeza.sasa wao wameweza sisi tumekosa nn itushinde kwa ujumla hii wizara inaitaji mabadiliko makubwa na wawe...
  5. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    lazima nifaulu mwaka huu kila siku wewe tu
  6. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    yap mkuu,na sikumaa nisha wakitoa o level waskip masomo
  7. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    msimamo wangu huko palepale kwenye hoja yangu masomo yasomwe yote,hii post ingebidi uiweke na kwenye website ya wizara husika kama ipo
  8. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    asante kwa ufafanuzi sasa hiyo siasa hiyo ndo siielewi mana kila anayeingia kwenye hiyo wizara anbadilisha anavyotaka yeye kwa maslahi binafsi
  9. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    sijui hata nitumie lugha gani ni kwamba hatupewi maarifa yakutosha so inatulazimu kutumia ubongo na ujanja tuliozaliwa nao ili tuishi acha hivyo vijiti ulivyosema karatasi zenyewe zatoka nje wakati jiji ni chafu kupindukia hizo taka kavu tu zingetosha kuwa processed na kutengeneza karatazi...
  10. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    aliyeko china ndo mwenye cheti hatali aliyebongo alikiba kabla mwemzie hajaondoka akakifanyia mambo copy na kupest tunajua hao wataala wamejaa mjini
  11. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    kama ni hivyo basi kusiwe na o'level mana hizo ulizotaja ni highschool kama sijakosea. tujue moja mtoto akitoka elementary school grade 1 to 8 kama mama zetu walivyosoma then aende high school 4ysrs kwa masomo atakayoyachagua kusiwe na kusoma yote f1 then f2 uchague tunapotezeana muda tu
  12. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    hii tabia ya kugush utaizuia huko mashuleni na vyuoni na kwenye kuomba ajira utaizuiaje system bado ni mbovu kwani kuna mtu namfahamu anatumia cheti cha rafiki yake aliyeko china kwenye ajira ameombea kazi na kapata na anatumia jina lake labda ingewezekana hizo sehemu tunazoomba ajira wawe na...
  13. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    watoto wengine wanapewa maadili mazuri sana hakuna mzazi anayependa mwanae aporomoke kimaadili au kielimu inategemea na anapokwenda shule anapata motivation kiasi gani, ukaribu wake na mwalimu ukoje? ,kama akifika shule ni stress, nyumbani stress , unategemea ataelekea wapi walimu wetu hawana...
  14. manka81

    Kuangakuka kwa elimu tz:Ni matokeo ya uana harakati wa kidini na siasa

    kushney hakuna kufika mwenyekiti
Back
Top Bottom