Recent content by MANKA ELIAS

  1. M

    JamiiForums Tanzania KIFO NA NDOA: Naomba nichukue nafasi hii kuisifu misingi ya dini ya Kiislamu

    Mimi ni mkristo huu ni ukweli usiopingika. Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
  2. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa ofisini kwangu, naomba msaada wakupata mali zilizoibwa

    Tena hawa polisi wanaofuatilia simu zilizoibiwa kwa kuzitrack huwa wanashirikiana na wezi wa simu anaitrack anampata mwizi na simu anaichukua mwizi anasukwasukwa anaachiwa anaacha simu wanaiuza tena. Kuna mmoja yuko kituo cha polisi National hapa Mwanza jina nalifadhi ndiyo kazi yake. Na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeibiwa ofisini kwangu, naomba msaada wakupata mali zilizoibwa

    Mimi niliibiwa simu tena za pesa nyingi polisi wakawakamata wezi kesi ikaenda mahakamani polisi wakasaidiana na wezi hukumu ikatoka ya kuninyima haki maana simu ilitrackiwa mwizi akakubali kuwa aliitumia ila aliinunua kwenye maduka ya simu used naye amemwuzia mtu wa Rwanda. Nikaishia kupata...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya kurusha majani na kanga barabarani kwenye msafara wa msiba itazamwe kwa jicho la 3

    Haya mambo ya kutandika majani na khanga barabarani kwenye msafara wa kusafirisha mwili wa marehemu nilianza kuonea kwa Reginald Meng
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tunautaabisha mwili kwa manufaa ya nani?

    Nani kamwombea kifo? Kifo cha mtu hupangwa na Mungu tu. Hayo mengine ni majibu ya shombo tu.
Back
Top Bottom