Recent content by manjuki2

  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Utabiri: Baada ya uchaguzi mkuu, kwa mara ya kwanza Tanzania inakwenda kuwa na Waziri Mkuu mwanamke

    Cha ajabu kipo,kwani wanaume wa taifa hili wanasemaje?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mwaka 1990, gazeti la Daily News liliweka tangazo/habari ya Magufuli kuomba asaidiwe matibabu ya moyo enzi anasoma Chuo Kikuu Dar es salaam

    Eeeeh, kumbe alikufa kifo cha fedheha ,kivipi mkuu? Au alifumaniwa na mke wa mtu halafu wananchi wenye hasira kali wakampiga na mawe mpaka umauti.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mwaka 1990, gazeti la Daily News liliweka tangazo/habari ya Magufuli kuomba asaidiwe matibabu ya moyo enzi anasoma Chuo Kikuu Dar es salaam

    Cha ajabu hawatosheki, inawezekana wana maagano na chuma ulete.
  4. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kikwete: Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea CCM haukufuatwa labda wanajifanya hamnazo

    Hawezi kunyamaza ana shoti ya tezi dume
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wanaocheka au kubeza CCM kubeba watu kwa magari kuwafikisha kwenye mikutano yao ujumbe wenu ni huu

    Kwenye harakati za kutafuta maisha kuna kutapeliwa mkuu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wanaocheka au kubeza CCM kubeba watu kwa magari kuwafikisha kwenye mikutano yao ujumbe wenu ni huu

    Ninawahurumia kwa sababu siamini kama akili zao ni timilifu,huenda zimechotwa kidogo na nabii.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wanaocheka au kubeza CCM kubeba watu kwa magari kuwafikisha kwenye mikutano yao ujumbe wenu ni huu

    Aibu kwa Mwamposa mwenyewe. Ukiona jinsi waumini wake wanavyotembea kwa miguu siku za ibada utalia machozi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Huyu kibaka hatonisahau kwa hii adhabu niliyompa

    Kwani yeye alitumia nguvu kidogo kuvunja mlango?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tazama vibe la Lissu wakati akitoka Mahakama ya Kisutu, leo Agosti 18, 2025

    Shida yako ni chadema na Lisu na siyo vinginevyo. Mbona kwenye majukwa ya siasa wengine ni zaidi ya Lisu au masikio yako yanakuwa yameziba?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tazama vibe la Lissu wakati akitoka Mahakama ya Kisutu, leo Agosti 18, 2025

    Mbona wewe una PhD ya uropokaji au hujijui?
Back
Top Bottom