Mahakama, bunge na vyombo vingine vya dola vimejazwa woga kwa kutishwa hata visiweze kufanya kazi bila maagizo yake. Ndo mana wote ni wakatili dhidi ya wale wote wasio kibaliana na Bwana mkubwa. Mauaji kwa anao wachukia ni sera ya nchi hivi sasa. Tusisahau haya akimaliza muda wake shime watanzania.
Maneno haya MTU aside shirikiana na shetani hawezi kuyatamka. Amakweli nimejua kwa hakika huyu ni wakala was kuzimu. Maana wauwaji sehemu yao ni kuzimu.
Loh! Kushikiwa bastola inabidi ajisahaulishe. Nje ya system anaogopa kufa njaa. Watu kama hawa kamwe hawawezi kuwa chama pinzani kwani hawawezi kujitegemea.
Hivi unaweza kuamini leo
Hivi inaweza kuamini leo Nape asione tatizo lolote pale aliposhikiwa bastola? Ujie ameshondwa kuishi bila hisani ya uteuzi. Wanamfuata JPM kwasababu ya teuzi sio kwamba wanaona anayo fanya ni mazuri ila njaa.
Hii inamaana asiku akitoka madarakani ajue kuwa hawatamlamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.