NSSF wanatumia fedha nyingi sana kuhonga ili waonekane ni bora lakini sisi wanachama wa NSSF tunajua kuwa huduma zinazotolewa huko ni mauzauza.
Ushindi huu wameupata kwa lipi wakati huduma zao ni uchwara mtupu. Tusidanganyane hapa.
Ras Jah unaonekana una uchungu kweli, au na wewe umebonyezwa halafu ukaachwa ? Wanawake wa PPF mnajidhalilisha kweli watu watatu wote mnagongwa na mtu mmoja. Hebu acheni kutuletea taarifa zenu za Manzese huko, hapa tujadili mambo ya maana tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.