Ndiyo nchi yetu tuliyopewa na Mungu wetu. Hatutaikatia tamaa maadamu kuna uwezekano wa kuibadilisha, hata kama madiliko ni ya mtu mmoja baada ya mwingine.
WanaJF,
Uzi huu ni mahsusi kwa kutoa dukuduku na ushauri juu ya utendaji wa Mhimili wa Mahakama. Napenda niamini kwamba Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi, wao wenyewe au kwa kupitia wasaidizi wao, watasoma haya nitakayoandika na ambayo yataandikwa na wengine kwenye uzi huu.
Kwa wale ambao, kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.