1. Hakuna ushahidi katika maandiko juu ya rangi za ngozi za wahusika. Kwa sababu rangi ya ngozi haikuwa na umuhimu wakati huo kutajwa kuliko mambo yenyewe ya msingi kama ujumbe wa neno la Mungu. Tofauti ya rangi imepewa sauti katika kizazi hiki kilichopotoka.
Kwa hiyo hata kama kulikuwa na...
Kuna kichwa kinaitwa Felician Makarios Phos ni hatari sana. Shule yake lazima uwe na akili timamu ndio utaelewa. Bibilia inawekwa wazi kama juanla mchana, hakuna mafumbo wala giza.
I highly recommend this man.
Ana channel yako telegram inaitwa Kainosmedia
Pitia hapo utanishukuru sana baadae
‘Kuishi milele kutachosha haraka’ at the same time unapambana kila siku kufanya mazoezi, kula vizuri, ili uishi muda mrefu.
You are a joke my friend.
Nadhani ugumu wa maisha ulionao pengine unakufanya uwe na mtazamo huo kuona kama maisha ya milele yanachosha.
Jaribu kuhojiana na wanaokula...
[emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa una unga mwingi kinoma.
Kwamba mnara wa babeli walitaka kwenda kumwona Mungu mawinguni[emoji23][emoji23]
Our theology are worldly apart.
Kadiri unavozidi kujibu unazidi kuexpose your illiteracy in God’s doctrine
Kwa ufupi hawakutaka kujenga kwenda...
Unazunguka tena kwenye maswali yale yale ambayo nimeshakujibu.
Roho na rohoni nimeshakuelezea vizuri kabisa.
Bro if the shoe fits, wear it.
Huwezi shindana na facts
Kweli zitabaki kuwa kweli
Ninao uhakika kwamba kadamnasi yake ilikuwa haiwezi kuelewa kwa sababu Mwandishi mara nyingi katika...
Hapana Mwandishi alielewa wazi kabisa kwamba Mungu haishi katika mawingu.
Alitumia mawingu kama kielelezo kufundisha mambo ya rohoni.
Kumbuka kadamnasi yake ilikuwa haiwezi kuelewa kwa ufasaha mambo ya rohoni. Hivo kama mwandishi na mwalimu ilimpasa kutumia vielelezo kama mawingu, matunda...
Nimekuuliza swali juu ya source ya mtu..
Umejibu haujui nini source yake
Then kama hujui, naweza kusema pasipo shaka kwamba umekurupuka sana kujibrand ATHEIST kama kuna mambo kwako bado hayaeleweki.
Yaani uko katika upande ambao bado una sintofahamu nyingi. Ungekuwa muungwana sana kubaki hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.