Kwanza watu wa pwani sio wavivu.
Pili watu wa pwani ndio walioendelea na Wastaarabu zaidi in tz. Waungwana sana na watu wa dini wenye utu.
Tatu, Nyerere alikuwa anawafelisha wanafunzi wa Kiislamu kwa makusudi, ndio maana Waislamu hao wa Pwani hawana shahada za kupata kazi nzuri serikalini.
Ama kweli akili ni mali.
Eti unaleta rejea kutoka Wikipedia!
Hiyo Wikipedia mtu yeyote anaweza kuhariri (hata mie naweza kwenda hapo nikaandika wazungu wabaya)
Hahaha
Waovu ni viongozi wetu waliosababisha tz kuwa masikini mpaka leo, hao ndio waovu wa kweli.
Watu wote waliosoma wanajua vyema kwamba meli za wazungu ndio zilikuwa zikiwachukua watumwa wa Africa na kuwapeleka south American, Europe na North America (mpaka leo wapo huko). Acha kujidanganya.
Wewe Pasco, naona sasa unaandika pumba tu, eti nahisi nahisi.
Huna hoja wewe.
Kuhisi sio hoja au sio Historia.
Unaweza kuhisi kitu lakini ikawa sio kweli unayohisi.
Dear members, asiwapotezee wakati wenu huyu Lofa Pasco mbaguzi wa rangi (mwenye chuki kwa Waislamu, tena sana).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.