Habari ,kuna tender ya kusupply nyama ya nguruwe 300kg kila baada ya 2days at price 4500/kg moshi kilimanjaro
Mtu yeyote mwenye uwezo kusupply kiasi icho au atleast 100kg anifwate pm
Nauza mahindi mabichi kwa ajili ya kuchoma. Shamba lipo kilimanjaro ila mikoani tunaleta kutokana na order .
Kwa mawasiliano zaid
0713879793/ 0766532505
Natafuta vijana wa kazi Golden restaurant iliyopo kinondon B. Anahitajika kijana mmoja wa chips na wawili kwa ajili ya chakula.
Mwenye uzoefu na kazi hii anichek
0713879793 or 0766532505 or 0653293829
Au aje Pm
Karbun
Kwa maelezo zaid njoo Pm au tuwasilianne kwenye namba izo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.