lazima tuwakalishe hawa jamaa jumamosi hakuna dmx wala fabillas hawana lolote! huko kwao hawasikiki wakuja kufanya nin bongo? hakuna mtu ankwenda huko watu wote kwa vinega wa ukweli uzalendo kwanza kama NIGERIA walivyosusia shoo ya 50 cent! 2005!
yap yap wanaimba kwa sababu ya njaa! mapromota feck hao! wasanii wengi bongo elim ndogo! lazima tuwaangamize hawa watu mwana hii kitu inaanzia jumamosi hii ustawi!
sikiliza ngoma ya mike t mpya utagundua wasanii wa bongo wanaimba kwa sababu ya njaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.