Inashangazasana, kama wameshakamilisha kila kitu maneno ya nini sasa si wapeleke iliwaukamate uongo wa mwenyekiti wa PAC nakamati yake?
Hapo kuna jambo zito mno mtakuja kulisikia tu,wanasema CCM ukoo wa mapanya wakati wao ndio mapanya buku kabisa wanakula nakumaliza mboga yote.
Kama mtarejea...
CHADEMA NAUTAWALA WA KUNGANGANIA MADARAKA
Chama hiki hakina tofauti na vyama vya kinaMrema Lyatonga na wengineo ambao wanadhani uenyekiti ni nafasi ya kudumu kwanimwenyekiti wake ana uchu mkubwa wa madaraka, anataka kugombea kwa kipindi chatatu sasa utadhani hakuna mtu mwingine ndani ya chama...
Utakuwa unatumika tu wewe ila endelea wakati unakuja nao u karibu ambapo siasa majitaka itajibiwa kwa majitaka na ndipo aibu itawafunika mkose pa kukimbilia. Yote uliyoandika umelishwa na tutakusaidia kuyatapika wakati ukifika.
Nadhani yatakuwa yameanza kumkuta maana hakuna rafiki wa kudumu kwa Wanasiasa na tangu amalize kibarua chake muda umeshapita mrefu sidhani kama wanamhitaji tena. Ha ha haaaaaa
Nimekutana na Kada mmoja wa Chadema Jimbo la Ilala katika mazungumzo akanishangaza sana.
Kuna ujenzi wa Chama ndani ya Chama unaofanywa kwa kitu kinaitwa CHADEMA Msingi. Anadai viongozi waliojenga Chama mpaka leo wanawekwa kando na hawashirikishwi kwenye jambo lolote. Ukihoji tu unaitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.