Recent content by man84

  1. M

    Naomba ushauri wa kisheria kuhusu bima ya maisha

    Husika na kichwa happy juu, naomba kujua kuhusu bima ya mkopo hasa mkopaji mwenza anapofariki kwa maana mkopo unabima ya maisha lakini wakopaji ni wa wawili, mke na mme, afu afariki mke, maana tumezoea kuona mume anafariki lakin hapa mke kafariki na katika mkopo anahusika kama wakopaji wote...
  2. M

    Natafuta mshirika wa kuanzisha biashara Mwanza pekee

    Mtu akija Sirius tunayajenga tu kitu rahis mbona
  3. M

    Natafuta mshirika wa kuanzisha biashara Mwanza pekee

    Tuna weka sawa mizan lakini ni mashine ya Kuprint mabango tu sio vitu vingi san Ushauri mzur
  4. M

    Natafuta mshirika wa kuanzisha biashara Mwanza pekee

    Tuna weka sawa mizan lakini ni mashine ya Kuprint mabango tu sio vitu vingi sana
  5. M

    Natafuta mshirika wa kuanzisha biashara Mwanza pekee

    Husika na kichwa hapo juu Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 40 ni mfanyanya biashara hapa mwanza, nahitaji mtu mwenye mtaji wa kuanziasha biashara ya pamoja. Mimi tayar nachumba cha duka natafuta mtu mwenye Nia ya pamoja, kutokana na chumba kilipo kinafaa sana kama Kuprint tishet mabango...
  6. M

    Nahitaji mtu wa kuanzisha biashara ya kuagiza magari nje ya inchi

    Biashara huijui mkuu kipi ambacho hakiko sawa ujumbe hautoshi, mwenye Nia anaelewa
  7. M

    Nahitaji mtu wa kuanzisha biashara ya kuagiza magari nje ya inchi

    Kama ujumbe unavyojieleza natafuta mtu mwenye wazo la biashara ya kuagiza magari mtandaon
  8. M

    Natafuta partnership wa kuanzisha kampun

    Nimezoea najua vizur biashara sio kwamba naanza hapana
  9. M

    Natafuta partnership wa kuanzisha kampun

    Kampuni ya kuagiza magari na kuuza na transportation
  10. M

    Natafuta partnership wa kuanzisha kampun

    Ni kama inavyojieleza hapo juu, mimi ni mfanyabiasha wa mda mrefu natafuta partner wa kuanzisha kampuni ambayo tutaanzisha kutegemea na mtaji wetu tutakao kuwa nao, mwenye malengo ya kukua kibiashara zaid, biashara ziko nyingi, ambazo tunaweza fanya endapo atapatikana mtu tutakaelewana...
  11. M

    Natafuta partnership kwenye biashara ya Clearing and Fowarding

    Mkuu tofautisha dalali na partnership, hawezi mtu kukuletea wateja wake , hao ni madalali ndo wanafanya hivyo sio partner
Back
Top Bottom