Recent content by Man-ndingo

  1. Man-ndingo

    Engine ya peugeot 504 sr na gear box

    Hiyo engine ina gharimu pesa ngapi maana spear za nissan ni genuine sema ni very expensive
  2. Man-ndingo

    Engine ya peugeot 504 sr na gear box

    Habari za majukumu ndugu zangu nauliza wapi naweza kupata engine ya peugeot 504 sr saloon plus gear box yake used well mantained in a good condition na price niko moshi Chombo ya mangi imelala inshitaji kuamshwa Asante sana.
  3. Man-ndingo

    Engine ya pegeout 504 sr na gear box

    Habari za majukumu ndugu zangu nauliza wapi naweza kupata engine ya pegeout 504 sr saloon plus gear box yake used well mantained in a good condition na price niko moshi Asante sana.
  4. Man-ndingo

    Nichukue gari ipi kati ya Mark X na Brevis

    Nashukuru wajumbe kwa shauri zeni nzuri tukutane Kwa bwana Mark X
  5. Man-ndingo

    Nichukue gari ipi kati ya Mark X na Brevis

    Unataka kuniambia bro nikicheza na rpm siwezi pata best fuel efficiency....isi vuke 1800 kwa speed ya 80 maximum kilimanjaro hakuna foleni kwa mizunguko yangu sio kati kati ya mji sana kwenda
  6. Man-ndingo

    Nichukue gari ipi kati ya Mark X na Brevis

    Hilo natambua comrade kwamba naenda kwenye gari zitakazo hitaji gharama zaidi kwenye utumiaji kuanzi mafuta mpka vipuri
  7. Man-ndingo

    Nichukue gari ipi kati ya Mark X na Brevis

    Ina wezekana nadhani wengi hawajatumia gari zote ila unajua ukitoka kwenye suzuki escudo tena model ya 1990 gari za 2000 unaona zote sawa i mean io brevis na mark x.ila asante kwa ushauri
  8. Man-ndingo

    Nichukue gari ipi kati ya Mark X na Brevis

    Vipi kwenye issue ya perfomance,stability na comfortability zina tofautiana sana??ipi ni bora zaidi
  9. Man-ndingo

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    Chukua sinoray mayai ndo latest iko poa sana you wont regret 150cc
  10. Man-ndingo

    Nichukue gari ipi kati ya Mark X na Brevis

    Hizi mbili Mark x na brevis zina nikosha sana sijapata wasaha wa kuichunguza crown ila naona zina tamba mjini Bila shaka ndo wakati wake.
  11. Man-ndingo

    Nichukue gari ipi kati ya Mark X na Brevis

    Wajumbe habari poleni na majukumu na pilika pilika za kila siku Nina swali kwa walio kwisha tumia Mark x na brevis napenda sana hizi gari na ninataka kuchukua moja wapo ipi ita faa ya kwendea kazini na mizunguko ya hapa na pale nimeshatumia suzuki escodo old model na starlet zote zilikuwa MT...
Back
Top Bottom