Recent content by Man Middo tz

  1. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Birthday za November ni kwa hisani ya Valentine Day

    Nyie wenye birthday mwezi huu, mshukuru sana kilichofanyika valentine day ya mwaka uliozaliwa. #Madodi
  2. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Acha kuamini Furaha inapatikana kwenye mapenzi

    Acha kuamini kuwa ili uwe na furaha unahitaji mahusiano. Wakati mwingine unachohitaji ni kazi, pesa, na nguo mpya tu. #Madodi ✍🏼
  3. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Sababu ni Kifo chako baba (Season one)

    SIMULIZI: SABABU NI KIFO CHAKO BABA! (Kisa cha kweli cha kusisimua) SEHEMU YA 16 MTUNZI: Man Middo Tz ILIPOISHIA…………….Akaniambia kuwa “Subiri niongee nao wakurudishie” akaongea nao baadae akaniambia kuwa “Justin kakubali baadae twende ukupe” nikamwambia “Da Matrona samahani lakini naomba...
  4. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Eliza na Ndoa Yangu (Kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA 24 Na Man Middo tz ILIPOISHIA………….akanza kunibembeleza akanikumbatia nikahisi msisimko wa kipekee toka niwe na Mudy hakuwahi hata kunikumbatia, lile kumbato la John lilinifanya nimiss aliyokua ananifanyia zamani nilijikuta nimeganda machozi yanatoka...
  5. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Stori: Baba masikini hadi kuwa baba tajiri kwa kusomesha watoto wake

    Sikuwahi kuwambia watoto wangu kuwa nilikua nafanya kazi gani. Kamwe sikutaka wajihisi aibu kwasababu yangu, pindi binti yangu aliponiuliza nilikua naenda kufanya nini ninapotoka, nilitumia muda huo kumzuga na kumwambia kuwa mimi ni kibarua. Kila siku kabla sijarudi nyumbani nilitumia muda...
  6. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania STORY FUPI: Fikiria kwanza Kabla ya kujaji

    SOMA ILI UJIFUNZE KITU, AMINI HUWEZI KUTOKA BURE Siku moja Dokta aliingia haraka sana hospitalini mara baada ya kupigiwa simu iliyomtaka akafanye upasuaji. Baada ya kufika hospitalini alibadilisha nguo zake haraka na kuelekea moja kwa moja katika jingo upasuaji. Kufika katika lile jingo la...
  7. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania STORI FUPI: Jinsi ya kutafuta furaha yako

    Ndio mkuu
  8. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania STORI FUPI: Jinsi ya kutafuta furaha yako

    STORI FUPI: JINSI YA KUTAFUTA FURAHA YAKO. Alitokea mwanamke mmoja aliyevalia nguo za gharama sana, kwa kumtazama tu ilitosha kutambua kuwa ni dada wa kitajiri. Basi alienda kwa mwanasaikolojia akamwambia kuwa “Sina furaha na maisha yangu nipo na huzuni, yani kiufupi maisha yangu hayana maana...
  9. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Eliza na Ndoa Yangu (Kisa cha kweli cha kusisimua)

    ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA 23 Man Middo Tz ILIPOISHIA..... Baadae wakamua kuwa “Kutokana na sababu zenu ni za kitoto, sasa hakuna kuchana hapa sasa mnarudiana upya na maisha yaendelee” Mimi nikakataa na Mudy pia akakataa, wazee wakasema “Nyie mnajifikiria wenyewe hamumuwazi mtoto wenu...
  10. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania My sister chrismass inakujà Epuka huu mtego

    My sister, Mpenzi wako atakufanyia visa ili ukasirike hivi karibuni, Lakini usije ukagombana nae, ni mtego huo. Krismasi ipo karibu, dada. Siri ya kambi
  11. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna watu hawawezi kugombana na wapenzi wao face to face

    Msichana haijalishi ni mzuri kiasi gani ila hawezi kupokea sifa kutoka kwa kaka yake. Huwa tunasema "Huna uzuri wowote wanakupamba tu hao wajinga wanaokutongoza uko"
  12. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna watu hawawezi kugombana na wapenzi wao face to face

    Katika Mahusiano kuna wale ambao hawawezi kugombana na wapenzi wao face to face, Lakini linapokuja suala la sms, wanaweza kuandika kitabu.
  13. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tamaa ya kutaka Mwanamke aliyenizidi umri ilivyonitokea puani

    Hapa Madam alijua lazima aingie kwenye mkoba zimtoke ili kujenga ushawishi kwa wajumbe. Ushindani ulikua mkubwa sana, safari za kata zote za Jimbo la K.W hazikuisha na pesa ilitoka balaa (si unajua wajumbe sio watu wazuri🤣🤣) Basi katika masuala yote yaliyohitaji pesa ya haraka yalitatuliwa na...
  14. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tamaa ya kutaka Mwanamke aliyenizidi umri ilivyonitokea puani

    Nimeiba namba za lishangazi zikaja kunitia aibu. Mama mmoja kwa jina la Ms mwakalebela alimuelewa rafiki yangu Edga, huyu rafiki yangu alikua anauza duka moja maeneo ya Salasala ambako huyu mama ndio anakoishi. Edga alikabidhiwa duka na boss mmoja kwa jina Atalu, huyu jamaa hakua wale maboss...
  15. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania STORY: Kijana Shujaa (Precision Air)

    KIJANA SHUJAA….. “Ilikua ndoto yangu kuja kufanya jambo kwaajili ya Taifa” SEHEMU YA NNE (04) Man Middo Ni yule yule waziri mkuu tena, Na hii ni Novemba 7 asubuhi katika uwanja wa kaitaba akiongoza uma wa watanzania kuaga mili ya wapendwa wetu 19 na kuwapa heshima za mwisho. Ilikua simanzi...
Back
Top Bottom