Sikuwahi kuwambia watoto wangu kuwa nilikua nafanya kazi gani. Kamwe sikutaka wajihisi aibu kwasababu yangu, pindi binti yangu aliponiuliza nilikua naenda kufanya nini ninapotoka, nilitumia muda huo kumzuga na kumwambia kuwa mimi ni kibarua.
Kila siku kabla sijarudi nyumbani nilitumia muda...
SIMULIZI: NILIVYOMPA MIMBA BINTI WA KAZI, IKATUNGA NJE YA KIZAZI.
SEHEMU YA KWANZA (01)
MTUNZI @middotz_ WHATSAPP 0655 969 973.
“Aisee kumbe hivi ndio watu hukataa mimba! ndio nagundua leo ukiwa hujajipanga”
Jina langu naitwa Shamsi Kassim, naishi kitunda Dar es salaam. Professional yangu ni...
SIMULIZI: NILIVYOMPA MIMBA BINTI WA KAZI, IKATUNGA NJE YA KIZAZI.
SEHEMU YA KWANZA (01)
MTUNZI @middotz_
“Aisee kumbe hivi ndio watu hukataa mimba! ndio nagundua leo ukiwa hujajipanga”
Jina langu naitwa Shamsi Kassim, naishi kitunda Dar es salaam. Professional yangu ni mwalimu ingawa kwasasa...
SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU
SEHEMU YA 20
Man Middo Tz +255 655 969 973
Kuna siku ndugu wa Godii wakaja dukani kuchukua vitu kisha wakawa wanaondoka nikauliza
“Mbona mnaondoka harafu pesa hamjatoa?” wakajibu
“Godii anajua”
Harafu walijibu kwa dharau flani ivi, niliumia sana ikawa ndio...
SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU
SEHEMU YA 19
Man Middo Tz +255 655 969 973
Baada ya miezi 9 hiyo Mudy aliamua kunifungulia duka, kwa maana nisiwe mama wa nyumbani tu niwe najishughulisha.
Aliamua kumleta rafikiyake Godii ambaye amesema kuwa ndio ataweza kunilekeza mpaka nitakapojifunza...
SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGUS
EHEMU YA 18
Man Middo Tz +255 655 969 973
Siku hiyo asubuhi uchungu ukanianza, hapo wiki ya pili sasa nipo hospitali basi nikapelekwa leba, Kwa kweli siku ile nilijifunza mengi na nilijua maana ya upendo ni nini maana niliwaza sana kuwa kumbe mama sio alikua...
SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU
SEHEMU YA 17
Man Middo Tz +255 655 969 973
Basi kweli Mudy alienda kuuza ile laptop akaniletea pesa zote nikanunua dressingtable na begi la nguo, na nyingine zote nikatumia tu mwenyewe hapo angalau nikaanza kupata furaha na amani.
Na kwa kweli alianza kubadilika...
SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU
SEHEMU YA 16
Man Middo Tz +255 655 969 973
Nilitembea sana hadi nikafika sehemu moja kuna fremu ni zile library za wanaouza na wanaokodisha CD pamoja na kuingiza nyimbo.
Nikaenda nilikua nimechoka vibaya mno maana tumboni vichomi, miguu nayo inauma balaa na mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.