Recent content by Man Middo tz

  1. Man Middo tz

    STORI FUPI: BABA MASIKINI HADI KUWA BABA TAJIRI

    Sikuwahi kuwambia watoto wangu kuwa nilikua nafanya kazi gani. Kamwe sikutaka wajihisi aibu kwasababu yangu, pindi binti yangu aliponiuliza nilikua naenda kufanya nini ninapotoka, nilitumia muda huo kumzuga na kumwambia kuwa mimi ni kibarua. Kila siku kabla sijarudi nyumbani nilitumia muda...
  2. Man Middo tz

    Nilivyompa mimba binti wa kazi ikatunga nje ya kizazi

    SIMULIZI: NILIVYOMPA MIMBA BINTI WA KAZI, IKATUNGA NJE YA KIZAZI. SEHEMU YA KWANZA (01) MTUNZI @middotz_ WHATSAPP 0655 969 973. “Aisee kumbe hivi ndio watu hukataa mimba! ndio nagundua leo ukiwa hujajipanga” Jina langu naitwa Shamsi Kassim, naishi kitunda Dar es salaam. Professional yangu ni...
  3. Man Middo tz

    Nilivyompa mimba binti wa kazi ikatunga nje ya kizazi

    SIMULIZI: NILIVYOMPA MIMBA BINTI WA KAZI, IKATUNGA NJE YA KIZAZI. SEHEMU YA KWANZA (01) MTUNZI @middotz_ “Aisee kumbe hivi ndio watu hukataa mimba! ndio nagundua leo ukiwa hujajipanga” Jina langu naitwa Shamsi Kassim, naishi kitunda Dar es salaam. Professional yangu ni mwalimu ingawa kwasasa...
  4. Man Middo tz

    SIMULIZI: Eliza na Ndoa Yangu (Kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA 20 Man Middo Tz +255 655 969 973 Kuna siku ndugu wa Godii wakaja dukani kuchukua vitu kisha wakawa wanaondoka nikauliza “Mbona mnaondoka harafu pesa hamjatoa?” wakajibu “Godii anajua” Harafu walijibu kwa dharau flani ivi, niliumia sana ikawa ndio...
  5. Man Middo tz

    SIMULIZI: Eliza na Ndoa Yangu (Kisa cha kweli cha kusisimua)

    Hakuna Cha Bure nudugu yangu labda fungu la kukosa
  6. Man Middo tz

    SIMULIZI: Eliza na Ndoa Yangu (Kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA 19 Man Middo Tz +255 655 969 973 Baada ya miezi 9 hiyo Mudy aliamua kunifungulia duka, kwa maana nisiwe mama wa nyumbani tu niwe najishughulisha. Aliamua kumleta rafikiyake Godii ambaye amesema kuwa ndio ataweza kunilekeza mpaka nitakapojifunza...
  7. Man Middo tz

    SIMULIZI: Eliza na Ndoa Yangu (Kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGUS EHEMU YA 18 Man Middo Tz +255 655 969 973 Siku hiyo asubuhi uchungu ukanianza, hapo wiki ya pili sasa nipo hospitali basi nikapelekwa leba, Kwa kweli siku ile nilijifunza mengi na nilijua maana ya upendo ni nini maana niliwaza sana kuwa kumbe mama sio alikua...
  8. Man Middo tz

    SIMULIZI: Eliza na Ndoa Yangu (Kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA 17 Man Middo Tz +255 655 969 973 Basi kweli Mudy alienda kuuza ile laptop akaniletea pesa zote nikanunua dressingtable na begi la nguo, na nyingine zote nikatumia tu mwenyewe hapo angalau nikaanza kupata furaha na amani. Na kwa kweli alianza kubadilika...
  9. Man Middo tz

    SIMULIZI: Eliza na Ndoa Yangu (Kisa cha kweli cha kusisimua)

    SIMULIZI: ELIZA NA NDOA YANGU SEHEMU YA 16 Man Middo Tz +255 655 969 973 Nilitembea sana hadi nikafika sehemu moja kuna fremu ni zile library za wanaouza na wanaokodisha CD pamoja na kuingiza nyimbo. Nikaenda nilikua nimechoka vibaya mno maana tumboni vichomi, miguu nayo inauma balaa na mtoto...
  10. Man Middo tz

    Hawa ndio watu wa ‘Love Connect’

    Love connect baba, umeenda bila timing Mzee, mama kagundua unataka usepe akaona hii haikubaliki. Usipokua makini hata Ndoa unafungishwa hapo
  11. Man Middo tz

    Tofauti tulizonazo kwenye tendo la Ndoa kati ya mwanaume na mwanamke

    [emoji23][emoji23] Mapenz hujawahi lkn ngono Utakua umewahi kufanya
Back
Top Bottom