Nielekeze kiongozi maana kiukweli nimekwama nijue njia ya kutokea maana .kwa sababu niliwaza ingekuwa rahisi kubadilishiwa muundo ili niendelee na degree kwa upande Wa maabara lakini inanilazimu kuanza kuisaka degree ya elmu ili muundo ubadilike
Nilitarajia mwakani nikaombe kwenda masomoni kwa bachelor of science with education kwa sababu imeshindikana kubadilishiwa muundo lakini ikaibuka figisu kiongozi wangu akaniambia ameambiwa asipitishe barua mpaka miaka mitano nikabaki njia panda ndo nikaanza kuwaza kivingine
Mimi nilianza kuajiriwa kwa Cheti Cha ualimu nikajiendeleza kwenye laboratory science and technology kwania ya kuhamia secondary kama lab technician lakini naona imekuwa ngumu
Wameniambia nitulie Kuna upungufu Wa waalimu na secondary hakuna nafasi ya lab technician ikipatikana watanijulidsha nikapiga mahesabu nikaona hakuna uhakika itapatikana lini nikaomba kwenda kujiendeleza kwa ngazi ya degree kwenye hiyo kozi ya maabara IKAWA huu ndo mwaka Wa tatu baada ya kurudi...
Kilichotokea nilienda kusoma diploma ya maabara nikitarajia nikipelekwa secondary nitajiendeleza kwenye ngazi ya degree lakini kubadilishiwa muundo imekuwa ngumu nikaona kuliko.kupoteza muda niingie open
Naomba ushauri mm ni mwalimu Wa shule ya msingi Nina diploma ya laboratory science and technology natarajia kujiunga open kusoma bachelor of science general open university alafu baadae nisome postigraduate ya elimu kwa ajili ya kubadilishiwa muundo .je kwenye muundo ipoje kwa watu Wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.