Recent content by Man from cuba

  1. Man from cuba

    GE2025 Askofu Gwajima: CCM tujiulize kwa familia za watu walitekwa, Lissu yupo gerezani, je tutapigiwa kura?

    Sema Kuongea kwao hakuna tija walishauriwa kubadilisha Sheria mambo yalivyokuwa upande wao ila wakaweka pamba maskioni
  2. Man from cuba

    Huu msitu unaoitwa Hamphrey Polepole ni mzito ,una wanyama wakali mno. CCM msiuchukulie poa na msiudharau! Una Kila aina ya wanyama na wadudu!!

    Kwa CCM hapo tunajidanganya polepole hawezi kufanya kitu CCM NI LIDUDE KUBWA SANA usicheze na nguvu ya mwenyekiti
  3. Man from cuba

    Umoja wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) wakubali wito wa Simbachawene lakini wataka kuwepo na Ulinzi kwenye kikao

    Vijana ni wengi sana mtaani tangia 2015 kumbuka hawa wamesomeshwa kwa kuungaunga na wazazi wao serikali Ione umuhimu wa kuwapa ajira at least Kila mwaka zitoke ajira 50000 kingine hao Wana hoja zao zipo mezani ni suala la serikali kutekeleza au kukataa hoja zao
  4. Man from cuba

    Mbowe atambue hata yeye ikibainika anachukua Rushwa anaweza kufukuzwa Uanachama. Asidhani hakuna wenye uthubutu wa kufanya hivyo

    Mwenyekiti Mkapa Mbowe yupo akaja Kikwete Mbowe yupo😀😀😀😀 akaja Magufuli Mbowe yupoooooooo akaja Samia Mbowe yupooooo Kuna ka msamiati ka kung'atuka kwa Mbowe hakapo unaondoka unamuachia nani
  5. Man from cuba

    Freeman Mbowe anaweza kushinda uenyekiti CHADEMA Taifa kwa zaidi ya 75%

    Kwamba hakuna mwanachama mwingine wa kupambana na Lissu zaidi ya Mbowe???
  6. Man from cuba

    Mbowe: Zamani CHADEMA ilikuwa ya Watu wachache Lakini sasa ni Taasisi ya Taifa zima, Kiongozi asiyekosolewa ni Sawa na Mfu!

    Nawaonea huduma wale vijana wanaopambana kwa kudhani chadema ni mkombozi wao kumbe ni kitega uchumi Cha watu wachache
  7. Man from cuba

    Toka Lissu atangaze kugombea nafasi ya uenyekiti, sasa nahitaji kadi ya CHADEMA!

    Mara hana Hela mara sio mwenzao Ili mradi tu Mbowe abaki madarakani hapa ndo naanza kumuelewa Msigwa alikuwa sahihi
  8. Man from cuba

    Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

    Hakuna mwenye akili hata mmoja atakubali ujinga huu wa chawa wa Mwenyekiti wa kudumu miaka zaidi ya 20 eti hakuna anayefaa na bado mnataka tuendelee kuwaamini mnashindwa ht na ACT ZItto kaachia madaraka nyie walaaaa mnataka hd mwenyekiti afie madarakani km Mrema
  9. Man from cuba

    Freeman Mbowe anaweza kushinda uenyekiti CHADEMA Taifa kwa zaidi ya 75%

    Kwani Mbowe mwaka Jana si alitangaza hagombei Tena??? Chama kimekuwa Cha kifalme hiki Hadi Mbowe afie madarakani
  10. Man from cuba

    Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

    Tatizo hawa chawa wa mwenyekiti wanadhani Lissu hana wapambe wanajidanganya Lissu ni heavy weight siku pambalu akiongea siku heche akiongea sijui mtaficha wapi sura zenu nawahakikishia Lissu sio Mwambe na hv hapo chadema Ina maana hakuna mtu mwingine anayefaa kuwa mwenyekiti zaidi ya Mbowe...
Back
Top Bottom