Hakuna mwanamke anayeza kuishi na mtoto ambaye cyo wake huyo mtoto kama hatateswa basi huyo mama wa kambo hatamlea vzr maana hatajali maendeleo ya mtoto ktk kukuwa vema
Hakuna tatizo Dada Mimi wangu anamiezi minne kuna muda anakaa hadi cku 10 hajapata choo.nimeshampeleka hospital doctor akasema hakuna tatizo nijambo la kawaida maziwa anayonyonya yote anajenga mwili so hakuna mabaki ya kutoka kama uchafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.