Wewe ndio huelewi. Nimekuambia waislam tumeamrishwa kusoma (maelezo yako yanathibitisha kutolijua hilo). Sasa kama wewe kweli ni Muislam ulipashwa kulijua hili kwanza. Pili kama hujui jambo, utawezaje kutoa ushauri kuhusu hilo jambo? Tafakari
Badilika kwanza wewe mwenyewe. Nani kakwambia kwamba waislam hawatafuti elimu. Kutafuta elimu popote ilipo hiyo ni Amri kwa waislam, eti Leo wewe unawashauri watafute elimu. Halafu unajiita Muislam, unachekesha sana
Mimea haitoweza kukua, mambo ya photosynthesis yatakwama. Bila mimea sijui itakuwaje, maana chakula hakitokuwezo. Yawezekana ikiwa ndio mwisho wa maisha katika dunia
Hayo Maneno ungemwambia Nyerere aliyewabeba na kuwadekeza mpaka mkajisahau na kudhani kila kitu ni haki yenu. Halafu huyo Nyerere aling'atuka na kuiacha vipi nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.