Asanteni sana kwa kunipigia kura naomba ambao hawajafanya hivyo waendelee kunipigia kura ili chapisho langu lipate kupita na kuonekana na viongozi wetu ili wafanyie kazi kwa Tanzania endelevu.
Tanzania Tuitakayo: Maono ya Kibunifu kwa Miaka 25 Ijayo;
Utangulizi
Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi na nguvu kazi kubwa. Kwa maono ya kibunifu na mipango endelevu, tunaweza kuibadili Tanzania kuwa nchi yenye maendeleo makubwa ndani ya miaka 5, 10, 15 hadi 25 ijayo. Maono haya...
Umemfumania mpenzi wako na mpenzi wake mwingine akakudhalilisha sana kwa matusi na maneno ya kejeli, ukaumia sana. Baada ya muda kupita anakuja kukuomba msamaha
Je, utamsamehe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.