Recent content by Mamishale

  1. M

    Kukamatwa kwa Ndege ya ATCL huko SA: Serikali imkamate mtoto wa Herman Steyn kwa kufanya udukuzi hapa nchini

    Hata mimi sijamwelewa, mtoto wa Herman Steyn anahusikaje na ndege kuzuiwa, yeye ndiye aliyewachochea wadai kudai au yeye ndiye aliyesababisha deni
  2. M

    Sababu za Watanzania wengi kufurahia kukamatwa kwa ndege ya ATCL nchini Afrika Kusini

    Nani aulizwe? wewe,unajua cha kujibu, Wivu tu,waliona shida saana Mtanzania wa kawaida kumudu gharama za kupanda ndege.Kama sio wao waliiiuwa na kama kweli nyie ni watetezi wa wanyonge tumieni zilezile bei za fast jet kwa safari mbalimbali.Kila Mtanzania hili analijua wala halihitaji shule.
  3. M

    Sababu za Watanzania wengi kufurahia kukamatwa kwa ndege ya ATCL nchini Afrika Kusini

    Ndo mpango uliopo nadhani.si haohao wamewafikisha hapo kama enzi ya UDA.Tutajua tu.
  4. M

    Sababu za Watanzania wengi kufurahia kukamatwa kwa ndege ya ATCL nchini Afrika Kusini

    Nani amekwambia taratibu hazikufuatwa,fuatilia taratibu za mahakama za kimataifa zinasemaje.
  5. M

    Nina fine ya gari tangu mwaka Jana 2018 sijailipa

    Kwa nini hujalipa gari yako itabandikwa misumari kama ile ndege ya....m
  6. M

    Wakati sakata la Ndege halijakwisha, Symbion Power wameleta RB

    Hivi lile deni la Meli ya samaki ya Wachina tulimalizaga.Wasijeleta leta nao RB
  7. M

    Wakati sakata la Ndege halijakwisha, Symbion Power wameleta RB

    Bandua bandika ndo mwendo huo,tuvumilie
  8. M

    Wakati sakata la Ndege halijakwisha, Symbion Power wameleta RB

    Ah isikupe shida.Hii tutashinda,wanasheria wa serikali wale 16 wanatosha kumaliza hii
  9. M

    Wakati sakata la Ndege halijakwisha, Symbion Power wameleta RB

    Ni vizuri, hapa tunajaribu kubadilishana mawazo.Na mawazo yanaheshimiwa kwa sababu ungeweza kukaa kimya pia na usiulizwe na yeyote.Hoja kwa hoja,"kwa nini ni wachache tu wanaoliona hili" doa jeusi kwenye nguo nyeupe ndilo linaloonekana zaidi kuliko sehemu kubwa nyeupe iliyobaki. Naomba niseme...
  10. M

    Wakati sakata la Ndege halijakwisha, Symbion Power wameleta RB

    Niliposoma hii habari hapo juu,nikakumbuka mistari hii "HAKI HUINUA TAIFA,BALI DHAMBI NI AIBU KWA KILA MTU "Tena "WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA" Haya
  11. M

    Wakati sakata la Ndege halijakwisha, Symbion Power wameleta RB

    Mhhh.....sijui na hawa watakamata nini tena jamani, sijui nao watazuia treni
Back
Top Bottom