Recent content by mamiit

  1. mamiit

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hawa jamaa kuna mchezo wanatuchezea nadhan,mfano kuna zile nafasi za TPA walizoita watu kazini tarehe 12.7.2022,tangazo limeondolewa makusudi kabisa na pia kwenye status za waliokua wameomba izo nafasi na kuitwa oral kule kwenye account zao wameondoa selected na imekua kama hazijawahi kuitwa kwa...
  2. mamiit

    JamiiForums Tanzania Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

    Mim sitaki kuamini watanzania hawampendi kwa kuangalia watu wanaofurahia taarifa zisizo nzuri kwa afya ya mheshimiwa.Watanzania wako zaidi ya million 55 kuchukulia mihemko ya watanzania wasiozidi hata laki tano wanaofurahia ilo suala si jambo la kusema ndo mwelekeo wa watanzania.
Back
Top Bottom