EP PRO,
Sijawahi kumnyanyasa na wala siulizagi maswali na kipato changu anajua na dili zote nazofanya anajua. Na sijaumia sababu ya elfu 5 ila why kafanya siri na ile message inayokuja aliifuta ndo nimeumia otherwise hatuna shida kabisa kwa yeye kutokuwa na kazi
Shukurani
Asanteni sana kwa wote mlionishauri hususan wale waliotoa ushauri chanya kama vile Fibanochi emanuel prim na wengine wengi. Ushauri wenu ninauthamini na nitaufanyia kazi kwa faida ya mahusiano yangu na ndoa yangu. Mbarikiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.