Huyu nae anashida zake eti uongozi ina ya JPM hsutakiwi tz...sie watanzania ni tunauhitaji... Mtamchafua sana ila ndo hivyo yuko mioyoni mwetu siku zote
Wewe umekuakua Mungu..? unatoa hukumu acha ujinga tubu zambi zako achana na maisha ya watu wengine kama umeshindwa maisha as ujinyonge? Kazi kuombeawatu mabaya maisha ushindwe wewe alaumiwe mwingine R. I. P JPM
Ndo maana huwezi kua Raisi endelea kuota ujinga wako kama umwshindwa maisha acha kuamisha failure zako eti uliteswa uvivu wako alaumiwe mwingine. Hufanyi kazi na chakula hakuna.. Hata biblia inasema hivyo.. R. I. P. JPM
Nyie jichanganyeni tu mnajiuliza maswali mnajijibu... Kama mnajua ukweli simkamteteee.. Yaani mnataka kubadilisha makosa ya ugaidi yaende kwa sabaya... Kama huo ushaidi hauna nguvu povu la nini?
Hata wale wanaompinga JPM nao pia wanamatatizo ya akili mental disorder.. Yaani badala ya kupambania maisha yao wanagombana na mtu alie kufa.. Halafuwanajiona wanshinda eti kwasababu hajibu mashambulizi... 🙄. R. I. P JPM 🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.