Kweli rafiki yangu umenena sawia kabisa. Ni serikali ya JK pekee yenye wasemaji lukuki. Hata NEC wenyewe si nao kabla walikuwa wakisisitiza kuwa April 30, upigaji kura ya maoni upo palepale? Kwani hata wao hawakujua kuwa muda huo kiutendaji hautoshi pamoja na uzoefu wao wa jiografia ya nchi...
Nakwambia nchi ni mfilisi haina hela maana mafungu yote yamo mikononi mwa mafisadi. Hapa katikati kabla ya uchaguzi hakuna chochote kitakachoendelea. Kwanza yawezekana hata uchaguzi hakuna. Nchi inayoendeshwa na wavumbuzi wa dunia utaiweza? Hawakai kujua matatizo ya wanakaya,wao ni kiguu njia tu...
Kwa hali iliyojitokeza ktk kikao cha bunge lililopita naamini kabisa gari hili tulilomo na ndilo linaloongoza serikali yetu ni bovu. Ni vyema kabisa Watz tushuke tupande gari jingine lenye uhakika na safari ya huko tuendako. Taa zake hazina mwanga wa kuona mbali hasa wakati wa usiku.Ona sasa...
TUSEMEZANE: ukweli utabakia ukweli. Tujiulize, katiba pendekezwa imebeba maoni YALIYOTOLEWA NA WATANZANIA? Wasomi wengi na WATANZANIA wanaharakati na wabobea dini kama hao wanaojadiliwa sasa wote hawa wanawasimamia wananchi ambao wengi wao elimu yao ni ndogo Kwenye uchambuzi wa mambo mazito kama...
Nawapongeza kwa nguvu zangu zote WAPINZANI BUNGENI WAMEONYESHA UKOMAVU LIVE. WANANCHI TUPO PAMOJA NANYI. Kwenye luninga tunawacheck hata mtoto hatumwi somoni kwa vile kapicha kwenye luninga kanavutia hata kwa WATOTO WADOGO.
Nawapongeza kwa nguvu zangu zote WAPINZANI BUNGENI WAMEONYESHA UKOMAVU LIVE. WANANCHI TUPO PAMOJA NANYI. Kwenye luninga tunawacheck hata mtoto hatumwi somoni kwa vile kapicha kwenye luninga kanavutia hata kwa WATOTO WADOGO.
Mwinukai ndugu yangu hili ndiyo taifa la kesho,wasoni wa kikatakata. Chuo cha utawala wa mh.Dr president na chenyewe kinaendeshwa ki-presida. Chezea chuo kikuu cha karne?
We jamaa kiboko,safi sana WANAJF WENGI WALIOPITIA UDOM leo wameamka na kuchangia kwa uchungu kabisa. Sasa turudi kwenye UZI WENYEWE. Kuna wanafunzi wa UDOM waliofanya hayo? Kama wapo wawasikie wenzao wasivyofurahia, na kwamba vyuo visijihusishe na siasa uchwara kama huo.Someni ili mje kuwa...
Mimi binafsi nakubaliana kwadhati kabisa uwepo wake ni muhimu kabisa tena wapewe meno kabisa ili uamuzi wao uwe wa mwisho. Maana huo ni muhimili unaojitegemea.
I AM FEELING SHAMED TO BE TANZANIAN. A RESPONSIBLE MINISTER TO POSE A SPEECH TO MEDIA AS LOCAL WOMAN TO MERE DRANKERED MEN,THIS SHOULD BE WRITTEN IN THE WORLD WOMEN GUINNESS BOOK. who then will stand for us? Its only God Will stand with us.
Namwunga mkono jamaa moja hapa JF aliyesema "hii ni moja ya thread ya mchangiaji asiyejitambua" midahalo haijengwi juu ya kujua nani amebeba ukweli na nani amebeba uwongo. UKWELI SIKU ZOTE HUJITENGA NA UWONGO. midahalo hujengwa na hoja dadavuzi kwa mada maalum iliyoundwa ili mshiriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.