Shughuli zangu kwa sasa nafanyia nyumbani kama freelancer. Pia kunakampuni moja ndio nalifanyia kazi Posta, Dar es Salaam. But mkataba wake na mimi ni kwa kazi. Tunalipana kwa kazi.
Najua ni muda but bado nafanya tu independent tu kuendeleza maisha hapa jijini. Sikua active JF kwa muda kidogo. But kama bado upo interested tunaweza kuonana.
Habari Wakuu Wa JF,
Nimekua Mdau wa JamiiForums, Kwa Muda Kidogo But leo, Nimeona nije niombe Kama Kuna mdau ambae anahitaji kuinvest katika upande wa Technologies ( ICT / IT ).
Mimi Ni Kijana niliejiajiri kwa Muda Sasa katika upande wa Technologies. Na Kwa sasa ni Idea Mbili za Kiteknolojia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.