Habari, nataka kuanzisha biashara ya juice ya Miwa kariakoo sasa Sijajua jinsi ya kupata sehemu ndogo tu iliyochangamka kwa ajili ya kuweka mashine na watu kusimana.
Pia vitu muhimu vya kuwa navyo ukitoa mashine na glass. Na mbinu za kupata wateja.
Naomba msaada kwa wenye uzoefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.