Yeah...nime click + ikaniletea currencies option ya Ku add , e.g USD/ZAR etc...still hakuna any sign ya SL!
Yeah...nime click + ikaniletea currencies option ya Ku add , e.g USD/ZAR etc...still hakuna any sign ya SL!
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya Leo wandugu? Nimesoma vitabu na naamini nimeelewa vema, nimefungua demo acc na Tickmill, lakini siajelewa jinsi ya Ku trade! Msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapendwa nataka kuanza demo...nichague broker yupi? Ili nikiiva niendelee nae kwenye real account? Natanguliza shukrani zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wandugu naomba msaada MTU mwenye uzoefu na Biashara ya max malipo, faida zake zikoje na utaratibu Wa kujiunga?
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.