Acha kupotosha umma ushahidi wenyewe ni wa uongo kama unauhakika nao upeleke sehemu husika uchunguzwe huna looted umejawa na chuki kazi kujificha kwenye mitandao jitokeze na ushahidi wako ili watuhumiwa wawajibishwe sio kupiga kelele "kelele za chura hazimnyimi chura kunywa maji".
Huyo mwalimu unayemchafua hapa ni mtu mwema sana anapokea maoni na pia anapenda majadiliano sioni sababu ya wewe kuamua kumchafua.Kama unakinyongo nae wewe useme tu maana si kwa kumuandama huku.Kwa shule inayopambana kudhibiti unyanyasaji na ukatili kwa watoto sio rahisi kuweza kumnyanyasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.