Inaenda wiki ya pili sasa ninazungushwa na watoa huduma wa Airtel kuhusu pesa yangu.
Tarehe 04 -03- 2024 nilitumia Airtel money kutuma pesa Tsh 150,000 kwenda Tigopesa lakini cha kushangaza mpaka leo hii hiyo pesa haijafika na wala kwangu haijarudi.
Nimeenda katika ofisi zao mara kadhaa ila...
Habarin wadau,
Naomba mwenye uelewa anijuze nawezaje kupata haki yangu, Tarehe 04 -03-2024 nilitumia Airtel Money kufanya muamala wa TZS 150,000 kwenda tigopesa hiyo pesa kwangu ilitoka lakin haikufika kwenda ilikotumwa.
Nimejaribu kutafuta msaada mara kadhaa katika ofisi za Airtel bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.