Ni mtu ambae nimekuwa nae kwenye mahusiano, tukatokea kupendana sana lakini ghafla upepo wa kisulisuli ukatupitia akanipiga kibuti, jamani kuachwa kubaya hasa mtu unayempenda.
Nimejaribu kumuomba msamaha na kumuahid kubadilika lakin jamaa amenikazia hataki mawasiliano kabisa.
Nimejitahidi...
Wakuu habari za mihangaiko
Mdogo wangu anenifuata kuzaliwa juzi kati nusu apoteze maisha. Sababu ni mume wa mtu kampiga kibuti.
Huyu mdogo wangu ameolewa na anaishi na mumewe. Alikutana na jamaa ambae ni mume wa mtu kikazi na wapo karibu wanafanya kazi sehemu moja japo department tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.