Recent content by Mama Sinono

  1. M

    Tunaomba taarifa rasmi kama Wananchi wa Kunduchi tunatakiwa kupisha mradi wa Mwendokasi

    Naomba uelewe mada hatupingani na serikali. Hata mimi natambua ardhi ni mali ya serikali. Tunachoomba ni kupewa taarifa rasmi. Ninavyoandika hapa kunA watu hata hawajui kAma kuna hichi kitu. UnafuAtwa mtu mmjamoja unaambiA tunaomba tuvyake tathamini ya eneo lako. Navyojua mimi lazima kwanza...
  2. M

    Tunaomba taarifa rasmi kama Wananchi wa Kunduchi tunatakiwa kupisha mradi wa Mwendokasi

    Naomba uelewe mada. Hatujakataa kuhama sema utaratibu unaotumika ndio hatuyauelewa. Wananchi wengi hawana taarifa. Ndo maana tunahitaji ufafanizi zaidi. Nimekuja kistaarabu sana. Ni huo mradi uwe wazi kwa wanachi wote. Sio anakuja mtu anakwambia tunahitaji eneo lako. Hakuna barua . hakuna...
  3. M

    Tunaomba taarifa rasmi kama Wananchi wa Kunduchi tunatakiwa kupisha mradi wa Mwendokasi

    Dear Serikali, kuna tetesi kuwa wananchi wako wa Kunduchi Mbuyuni wanatakiwa kuondoka kupisha mradi wa Serikali wa mwendokasi. Tatizo wananchi hatujawekwa wazi kuhusu huo mradi. Taarifa zinakuja kienyeji. Mfano mimi jana ndo mjumbe ananipigia simu kunieleza kwamba watu wa kuthaminisha maeneo...
  4. M

    Natafuta kazi yoyote halali

    Asante nitakutafuta nipo Dar ila mkoa wowote nitakwenda.
  5. M

    Natafuta kazi yoyote halali

    Mimi nina degree ya lab technician ila nimeomba kazi sehemu nyingi sana nimekosa. Naomba unisaidie kupata kazi yeyote nitafanya ila iwe halali. Nipo na hali mbaya sana wakuu.
Back
Top Bottom