Recent content by Mama Pasco

  1. M

    Falme za Kiarabu zinakuja kupewa miradi mingi

    Nchi ishauzwa hii
  2. M

    Magerezani hali ni mbaya kunahitajika mageuzi

    Mama aliposhauriwa aachie baadhi ya wafungwa alisema nguvu kazi itapungua sababu dhaifu kabisa pia inashauriwa wajenge zaidi makambi na sio ngome ushauri ambao haujafanyiwa kazi kabisa Magereza ya Tanzania ni bora ufe ndio maana baadhi ya wafungwa wanatoroka ili wapigwe risasi wafe waondokane na...
  3. M

    Happy Birthday Chuma, happy birthday John Pombe Magufuli

    A true son of the soil leo hii hata uswahilini Kuna lami na taa za barabarani ! Rest in power Magufuli
  4. M

    Killings in custody

    Askari Polisi wa Tanzania mikono yao imejaa damu ya Watanzania wenginwasio na hatia kabisa
  5. M

    Jaji Mkuu, siyo wanasiasa tu wanaoingilia Mahakama, tutatufte ni nini kiini cha Mahakama kuingiliwa

    Jaji Mkuu aache kutisha watu ameshindwa kuinyoosha Mahakama akae kimya yanayotendwa na baadhi ya watumishi wa Mahakama yanatia kichefuchefu. Rushwa imetamalaki na inachukuliwa bila hata chembe ya woga Kuna hukumu ukizisikia huwezi amini masikio yako lakini baya zaidi Kuna chain ya kulindana ya...
  6. M

    Ni kashfa ipi aliitoa Mwanaccm Levinus Kidanabi mtandaoni hadi kufungwa miaka?

    Jamani hakutukana ni kumkosoa Rais acheni kuongeza chumvi hata humu JF Rais anakosolewa daily kwani yeye Mungu hata asikosolewe?
  7. M

    Ni kashfa ipi aliitoa Mwanaccm Levinus Kidanabi mtandaoni hadi kufungwa miaka?

    Wapi Kibatala umtetee huyu mtoto wa mnyonge wa nchi hii? Hilo Shari la kijani lisikutie hofu njoo uokoe jahazi vinginevyo watoto wengi wa wanyonge wataisha ,by the way yule aliyesema shetani yuko ikulu alifungwa miaka mingapi vile?
Back
Top Bottom