Mama aliposhauriwa aachie baadhi ya wafungwa alisema nguvu kazi itapungua sababu dhaifu kabisa pia inashauriwa wajenge zaidi makambi na sio ngome ushauri ambao haujafanyiwa kazi kabisa Magereza ya Tanzania ni bora ufe ndio maana baadhi ya wafungwa wanatoroka ili wapigwe risasi wafe waondokane na...
Jaji Mkuu aache kutisha watu ameshindwa kuinyoosha Mahakama akae kimya yanayotendwa na baadhi ya watumishi wa Mahakama yanatia kichefuchefu. Rushwa imetamalaki na inachukuliwa bila hata chembe ya woga Kuna hukumu ukizisikia huwezi amini masikio yako lakini baya zaidi Kuna chain ya kulindana ya...
Wapi Kibatala umtetee huyu mtoto wa mnyonge wa nchi hii? Hilo Shari la kijani lisikutie hofu njoo uokoe jahazi vinginevyo watoto wengi wa wanyonge wataisha ,by the way yule aliyesema shetani yuko ikulu alifungwa miaka mingapi vile?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.