nina kiwanja kipo karibu na mvuti sehemu inaitwa kitonga. ukitoka mbagala unapanda gari ya mvuti unapita chamazi msongola unashuka kitonga. kinafikika kwa barabara. kilometa 2 toka barabara ya lami, ni tambarare. kina ukubwa wa mita 50 kwa 50 bei milioni 11. ni wilaya ya ilala tarafa ukonga...
Ninauza viwanja 6 vya ukubwa wa mita 20 x 20 bei 2,000,000/= kila kimoja. Viko sehemu moja namba yangu 0754571000 au 0784551259
ni maeneo ya kitonga ukitoka mbagala unapita chamazi msongola halafu kitonga. Unaweza kupitia barabara ya pugu chanika mvuti then kitonga. Ni kilometa 25 toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.