Ni wazito balaa piga namba ya huduma kwa wateja na hiyo uwe mvumilivu unaweza kupokelewa baada ya dk 5. Leo mpaka saa hizi hawajakata mtandao ( Kawaida yao ikifika wikiend lazima waufyeke😆)
Kawaida ya wanafiki. Media uchwara za Bongo zinavyoripoti vita utafikiri ni waandishi wako mstari wa mbele kwenye mapambano. Ya October 29 wako kimya takataka tupu.
Jinai haifi Tena tuweke muda kila baada ya miezi mitatu tunaweka picha za wapendwa wetu waliouwa kikatili. Tunajua hatuna ubavu wa kumtoa lakini atakonda hadi abaki mifupa. Ile anamaliza tu anadakwa.😮💨😮💨
Kwa hali ilivyo sasa bora wamualike maana bila hivyo anaweza kuvamia. Picha ni muhimu ili aonekane anakubalika 😄😄. Yeye na Waziri wa mambo ya nje ndivyo wanavyojidanya.
Idd Amini Dada aliua watu kama kuku Waganda walimkataa hadi akafia ugenini hiyo ndio adhabu anayostahi Samia Suluhu Hassan yeye na kizazi chake. Ni bora akaanza kuitumikia adhabu hiyo mapema maana hatakufa kabla kuitumikia.💀💀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.