Recent content by mama kubwa

  1. M

    KERO TTCL wanatuma bills lakini mfuno wa kupokea kupokea malipo haufanyi kazi siku ya 3 leo

    Ni wazito balaa piga namba ya huduma kwa wateja na hiyo uwe mvumilivu unaweza kupokelewa baada ya dk 5. Leo mpaka saa hizi hawajakata mtandao ( Kawaida yao ikifika wikiend lazima waufyeke😆)
  2. M

    Full Time| Mtibwa Sugar 1 -1 Yanga SC | Ligi kuu NBC | Jamuhuri stadium | Machi 21, 2025

    Ukimcheka Yanga kesho uko na TRA. Jamani tuzikeni kwanza kila kitu kinaharibika damu ya mtu inanuka😭
  3. M

    TTCL inaendeshwa kisiasa au kitaalamu? Kwanini wanazima intaneti Jumapili mpaka Jumatatu?

    Ni kweli kila ikifika wiki end lazima wakate mtandao ila ukichelewa kulipia siku moja utapigiwa simu zaidi ya 10. Waache ujinga🙃
  4. M

    Tanzania yatuma salamu za Rambirambi kwa kifo cha aliyekuwa kiongozi wa Iran, Khamenei

    Kawaida ya wanafiki. Media uchwara za Bongo zinavyoripoti vita utafikiri ni waandishi wako mstari wa mbele kwenye mapambano. Ya October 29 wako kimya takataka tupu.
  5. M

    PostGE2025 Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania

    Jinai haifi Tena tuweke muda kila baada ya miezi mitatu tunaweka picha za wapendwa wetu waliouwa kikatili. Tunajua hatuna ubavu wa kumtoa lakini atakonda hadi abaki mifupa. Ile anamaliza tu anadakwa.😮‍💨😮‍💨
  6. M

    Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Kama Kuna mtu huwa anaamini Chalamila ana akili basi yeye nae hana akili. Chalamila ni debe tupu.👎
  7. M

    Nchimbi: Mimi hata mambo ya kugombana kivyama vyama siyapendi naona ni ujinga tu

    Kama Samia kaua maelfu ya watu halafu kawafukia hakuna linaloshindikana kwa CCM. Sasa kila siku wanahamisha maiti zilizoharibika.😭😭
  8. M

    Nchimbi: Mimi hata mambo ya kugombana kivyama vyama siyapendi naona ni ujinga tu

    Huyu hatekwa bali 'wanamkolimba'. Mzee wa watu alisema CCM imepoteza mwelekeo huku akiwa bado mwana CCM wakamwekea sumu kwenye mike😭😭😭
  9. M

    Rais Samia angejua anamtuma Nchimbi kwenda kuongea na yakwake ambayo ni mazito kuliko yake hasingemtuma

    Kwa hiyo anatuambia Mwenyekiti wake mpenda mabifu ni mpumbavu?
  10. M

    Hili "somo la kwanza” la Wakatoliki kwenye msiba wa Kardinali Pengo mbona kama lilikuwa limelenga kufikisha ujumbe flani?

    Sijui na Sista watamuua? .Mungu tunaomba tuepushie hii aibu. Yaani huyu binadamu amekuwa kituko😌😌
  11. M

    Kwa nini apewe nafasi kwenda kuaga mwili wa marehemu Kadinali Pengo wakati alishatamka watu wa TEC wanamchukia na yeye ana kinyongo?

    Kwa hali ilivyo sasa bora wamualike maana bila hivyo anaweza kuvamia. Picha ni muhimu ili aonekane anakubalika 😄😄. Yeye na Waziri wa mambo ya nje ndivyo wanavyojidanya.
  12. M

    Baada ya mauaji ya Oktoba 29, mbona Rais Samia anazidi kuchukiwa pamoja na jitihada za kisiasa kuonesha yupo karibu na Wananchi?

    Idd Amini Dada aliua watu kama kuku Waganda walimkataa hadi akafia ugenini hiyo ndio adhabu anayostahi Samia Suluhu Hassan yeye na kizazi chake. Ni bora akaanza kuitumikia adhabu hiyo mapema maana hatakufa kabla kuitumikia.💀💀
Back
Top Bottom