Ni kweli kabisa Selian ALMC huduma zao zina utata mno. kwanza kabisa hao watu wote unaowaona reception hawana ujuzi wowote wa mambo ya afya kwa maana nyingine they ar not trained kuhudumia. Mimi niliwahi kuingia kwenye mgogoro na mmoja wa hao kina dada, alinizuia kumwona doctor with no reason...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.