Recent content by mama firstborn

  1. M

    Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

    Pole hapo atakayeteseka ni mtoto wako tuu huyo pole
  2. M

    Ushauri: Baba mzazi hamtaki mtoto wake wala kuzungumza na mzazi mwenzake

    Habari za Jumatatu, Naomba ushauri kuhusu rafiki yangu huyu. Huyu rafiki yangu alizaa na mpenzi wake miaka ya tisini mwishoni, lakini hawakufanikiwa kuwa pamoja, Baba alioa mwanamke mwingine, akabaki kuhudumia mtoto wake tu japo alikuwa anaishi na mama yake. Ila huyu mzazi mwenzie ambaye ni...
  3. M

    Familia zina siri kubwa, mwanasheria msibani: Mwanasheria kazua gunzo msibani akisoma mirathi, watu tulishangaa sana

    Kuna jirani yangu mmoja hapa alifariki mwaka jana. Yeye na mkewe wa ndoa wanawatoto 3. Mtaani tulikuwa tunajua wote hawa ni watoto wake wa kuwazaa kabisa. Hata marafiki zake walikuwa wanajua hivyo kabisa na watu wanaofanya kazi moja. Na ndugu wa mkewe na ndugu wa mume. Wote walikuwa wanajua...
  4. M

    Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

    Ni wa Baba kabisa. Mbona kuna moja mama mmoja nafanya kazi nae ofisini. Alinisilimulia kuwa Kuna watoto wa 3 walibadili jina la Baba yao la kati na la mwisho kwa sababu ya mambo hayo hayo ya urithi, na sasa ni wa kubwa hawana uhusiano na upande wa baba. Tema mama yao alinyang'anywa kila kitu...
  5. M

    Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?

    Mimi nimewahi kushuhudia tukio moja hivi ni mda kidogo. Mume alifariki bila kuacha mirathi. Kwenye msiba yeye na mkewe walikuwa na watoto wa kike wawili na wakiume 1 hawafanani na baba yao kivile. Ila kwenye msiba wakaja watoto wawili wakiume mapacha wamefanana na Baba yao vile vile mpaka...
  6. M

    Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

    Ukimwambia akiwa mkubwa huyo dogo nirahisi mwenyewe kubalance mambo kwa mzee wako na kwa huyo jamaa ili mzee wako asijue kabisa.
  7. M

    Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

    Pia mwabie kuwa huyo anayejifanya shemeji kuwa , Baba kalea mtoto na kughalamia kwa pesa yake. Hapo tunafanyaje sasa. Muangalie atafanya nn
  8. M

    Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

    Mwambie mtoto akiwa mkubwa kama 27 na kuendelea usimwambie sasahivi
Back
Top Bottom