Recent content by Mama Colito

  1. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Point. Insider tafadhali zingatia hili though naona it's too late maana umesema wataanza kupigiwa simu maana yake CV zishafika na kupitiwa na uongozi ila trust me hii ni mbaya mnooo! Imagine Iryn anapewa story halafu anaingia kusoma anakutana na baadhi ya sehemu ya story zenye ukakasi kama ile...
  2. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Imagine! Hiki ndio nachosema.
  3. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Umesema yote yaliyopo kichwani kwangu. You're smart kama jina lako lol! Imagine unaruhusu mpaka Mke ukimpa excuse za kazi anarudi kwa Boss wako kuuliza kama ni kweli.. what a disrespect! Sisi wanawake usipotuwekea mipaka au kuwa na misimamo mikali ya kiume saa nyingine lazima tukupande kichwani.
  4. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nimepata stress na hiyo message ya Iryn utasema mimi ndio Insider! Haya tunangoja muendelezo Ijumaa Inshallah [emoji120]
  5. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Bora umesema [emoji28] Nilitaka kusema Insider mahela yote unayotengeneza jamani hata kama ni hela ya Uber ndio umpige na elfu 10 jamani? Halafu ulisema binti mzuri wa kishua, hata hela ya sabuni mwe!
  6. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    What a story! Umetisha sana halafu una namna ya usimuliaji fulani amazing [emoji7] Leo mapumziko, tupe hata mbili basi..
  7. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa 'Maboss' kuweni na adabu mnapofika kwenye ofisi zao

    Hapana Mkuu, hiki ni kilio cha mkereketwa tu. Lakini kwenye situation kama hii Secretary kuwa Mchepuko wa Boss kunazaa matatizo mengi sana hili likiwemo
  8. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa 'Maboss' kuweni na adabu mnapofika kwenye ofisi zao

    Ona sasa! Kama si ulimbukeni ni nini?
  9. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa 'Maboss' kuweni na adabu mnapofika kwenye ofisi zao

    Kumbe Mke wa Boss nae ni Boss?
  10. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa 'Maboss' kuweni na adabu mnapofika kwenye ofisi zao

    Enhe, tena anamkuta Secretary saa nyingine hata hamsalimii anajiona kashamaliza!
  11. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa 'Maboss' kuweni na adabu mnapofika kwenye ofisi zao

    Na ukiwa huna sauti utapata tabu saana!
  12. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa 'Maboss' kuweni na adabu mnapofika kwenye ofisi zao

    Hapana, kuna Michepuko na Wake halali kabisa. Hilo la Michepuko kukwepa kujichoresha ni kweli pia
  13. Mama Colito

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa 'Maboss' kuweni na adabu mnapofika kwenye ofisi zao

    Wala! Mwanamke na heshima zake lakini mambo anayofanya kwa sababu ni Mke wa Boss hutaamini.
Back
Top Bottom