Mfumo wa T-CAMS ni Mageuzi ya Kidijitali Yanayojenga Uwazi, Ufanisi na Ushindani katika Sekta ya Uwakala wa Forodha Tanzania
Utangulizi
Katika dunia ya sasa, ushindani wa biashara haupimwi tena kwa ukubwa wa bandari au idadi ya mipaka ya nchi, bali kwa ubora wa mifumo inayorahisisha biashara...
Mchakato wa uchujaji wa wagombea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi Vijijini umetawaliwa na tuhuma nzito za rushwa, upendeleo na ubabe wa viongozi, hali iliyopelekea sintofahamu kubwa na kuibua mjadala mkali miongoni mwa wanachama wa chama hicho.
Kwa mujibu wa duru kutoka ndani...
Toka zoezi la uchukuaji fomu lianze jana Juni 28, 2025 imeonekana idadi kubwa ya wafanyabiashara vijana kwa wazee wameonesha nia ya kutaka ubunge kupitia CCM.
Kidemokrasia ni haki yao na afya pia kuonesha chama hiki kinaungwa mkono na makundi mbalimbali lakini hofu yangu isije ukawa mkakati...
Mtoto wa mfanyabiashara Zadock Koola aitwae Enock Koola aliyeongoza kura za maoni mwaka 2020 ndani ya CCM kwa tofauti ya kura 6 tu lakini akakosa uteuzi wa vikao kwa sababu za kimaadili alisusia kabisa vikao na mikutano mbalimbali iliyoitishwa na kamati za siasa wilaya ya moshi vijijini na mkoa...
Vunjo, Kilimanjaro – 27 Juni 2025:
Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Vunjo kimeingilia kati na kutibua maandalizi ya maandamano makubwa yaliyokuwa yamepangwa kwa ajili ya kumsindikiza Mbunge wa sasa wa Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Stephen Kimei, wakati wa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya...
Na Mwandishi Wetu,
Kahe
Wazee wa mila wa kabila la Wakahe na Wamaasai kutoka Kata ya Kahe Magharibi, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Ngasini, Mhe. Goodluck Meshack Mlay, pamoja na wazee wa Mila akiwemo Andasoni Kireja, Godsoni Samweli, Peter Melisoki na Laigwanani David Laiza...
Baada ya Balozi Dkt Emanuel John Nchimbi kuteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni wazi Mkutano Mkuu Maalum wa tar 29&30 Mei, 2025 utatoka jina la kada atakayevaa viatu vya Katibu Mkuu mpya wa CCM Taifa atakayerithi nafasi ya Balozi Dkt Nchimbi.
Ni saa 48 zimesalia, upi...
Mtia nia wa ubunge Vunjo aitwaye Enock Koola siku ya Jumamosi wajumbe wamemgomea kuonana nao licha ya kurudi mara 2 akidhani patakua na nafuu.
Kadhia hiyo imemkuta katika kata yake ya nyumbani ya Mwika Kusini.
Wakati CCM kupitia viongozi wake wakuu wanakemea kampeni za mapema na viongozi kubeba wagombea/watia nia hali huko wilaya ya Moshi Vijijini ni tofauti.
Mwenezi wa CCM wilaya hiyo aitwaye Huseni Abduli eikei mwenyekiti anayeishi mji wa Himo amekuwa kinara wa kubeba wasaka ubunge wakiwemo Nicolas...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.