Vibaraka mpo? Mnasalimiwa na Mike Pompeo
#Repost @millardayo @download.ins
---
Rais Donald Trump wa Marekani ameonekana kujiepusha kukubali kukabidhi madaraka kwa amani endapo atashindwa katika uchaguzi wa Rais November mwaka huu, amesikika akisema wataangalia kitakachojitokeza akijibu swali...
Tatizo la Huyu Kijana, ni mwoga sana, yeye anatishia kuvuruga Amani na kuhamasisha vurugu Kwa kisingizio cha matokeo. Kwanza yeye ana uhalali gani wa kushinda uchaguzi ambao wengine hawana? Amesikika Kigoma akisema kwamba Mkosamali awamuru wananchi waingie barabarani kudai ushindi. Kwa hiyo ata...
Wanatangza wao wenyewe mitaani halafu wanasema wananchi wamekuja wenyewe bila kutangaziwa...wakati mwingine tunajidanganya sana. Wanakesha wiki mzima kutangazia watu Ohio wa viongozi wao
hawa vijana ni kati ya watu wenye tamaa na uchu mbaya wa madaraka, wakati wao walivumiliwa watawale, walitawala na walifanya yote watakayo pasipo kuguswa.
Yusufu Makamba ana lalamika nini? Kinana analalamika nini?
Tatizo letu tunataka kila mtu afurahishwe na utendaji wake , Hilo ni jambo lisilo wezekana, lazima kuna baadhi watapinga kwa sababu zao binafsi, utumishi uliotukuka unaanza kuonekana sasa!
Mhh watanzania bwana, kwa hiyo mwenyekiti wa chadema achague moja kati ya haya, awe Tu mkwe wa mwenye chama, awe TU mbunge au awe Tu mwenyekiti wa chama..maana yeye ana vitatu
Tofautisha maagizo na AMRI, sisi watanzania wanafiki sana. Sisi sisi ndio tuliokuwa tunalialia kwamba hizi barabara zimehujumiwa, zipo chini ya viwango, leo maamuzi magumu yanachukuliwa tena ni yale tunayo yalilia kwa muda mrefu. Mara tumesahau kwamba ni sisi tuliokuwa walalamikaji wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.