Habar zenu wadau ninaprnda kabati jeupe la nguo na nina mpango w akununua katika pita pita zangu nikaona mtàndaon wanasema eti rangi nyeupe inawai kufubaa haifai naombeni ushauri wenu je ni kewl kabat nyeupe haifai ???? Nimeogopa kwakwel embu wazoefu mnipe ushauri
Tunafundwa na kungwi dear ndani Sio nnje kw sisi wqislam binti akikaribia kufunga ndoa anafundwa vzr KBS na mama MTU mzima wa kiuitwa kungwi kuanzia Usafi ,jinsi ya kumuhudumia na kumjali mume ,heshima ,tabia njema mahaba NK
Nisjawa
Mbn mi nshaolewa mume alifariki na Nilikua natimiza majukum yng km Mke na kuusu watoto Mbn nimelea vzr TU acheni uvivu bwana Mbn sisi tumeweza na Mabibi zetu waliweza Tena Bila msaidizi uvivu TU unawasumbua watoto ndo wkaufanye usitimize majukum visingizio TU ingekua ivyo mama zetu...
Nd
Ndo mana mnaibiwa waume zenu na mahousegirl hamtimizi majukumu yenu kabisa mnataka Haki sawa kw wote Mbn mabibi zetu walifanya Kazi zote wenyewe nq watoto wakakua na NDoa zikadumu
Afu ujaeleewa Mada wewe Uyo mke hafanyi majukumu Yake kila kitu anafanya house girl elewa somo house girl ndo analea watoto na kuhudum mume wa boss kw kila kitu afu bado unatetea upuuzi ndo mana mnaibiwa waume zenu na mahousegirl sikuiz wanaume wamesanuka wanaoa housegirl ndo anawajali wanaoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.