Naitwa husna nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni certificate ya kidato cha nne nina ishi dar es salaam kitunda
Wakuu natafuta kazi nina uwezo wa kuuza duka na kusimamia biashara Ipasavyo
Ni muaaminifu pia kama una kazi nyingine tofauti labda waweza nielekeza naweza ifanya kwa uwezo mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.