Pasco naomba kuifufua hii mada japokuwa ni ya siku nyingi. Naomba unipe ufafananuzi kidogo. Kipindi cha nyuma nilikuwa nikitembelea maeneo fulani akili yangu inaniambia nilishaona hilo eneo before. Wakati mwingine nimuona mtu kwa mara ya kwanza lakini kumbukumbu zinanionyesha nimewah kukutana...
Mamalaka ya hali ya hewa imekanusha taarifa zinazunguka kwenye mitandao ya kijamii kwamba kesho kutakuwa na mvua kubwa ikiambatana na upepo mkali maeneo ya dar-es-salaam kuanzia saa saba mchana.
Taarifa hizo sio za kweli na zimelenga kujenga hofu kwa wananchi ili wasiweze kuhudhuria uzinduzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.