Ni huzushi na uongo mkubwa sana
Watu wa Chamanzi watu wa Mbande watu wa Kisewe wqnamaisha mazuri km wa Goba au kuwazidi
Ukienda maeneo ya Chamanzi Kuna Night club zinajaza watu mpaka asubui usalm usingekuwepo siwangekuwa wanakabwa
Kwa ufupi uko panya road walikuwa wanawasikia
Anajua watu wanoa
Ishi mbagala chamanzi Twangoma
Wanavyoteseka na ilo stendi ya Mbezi
Wanao taabika ni Pato la chini mtu mmoja ananiambia akitoka safari anafika dar uck sana na gari likishusha Shekilango akichukia tax mpaka chamanzi ni 35000 mpaka Sasa mfikirie huyo akishushiwa mbezi usiku...
Ukiwa
Mwanza Bk na kwingineko ni bure ila Dsm ni pesa
Hasa hospital ya Rang tatu na viunga vyange na Temeke pia na ukitaka kuumia mkeo afanyiwe upasuaji
Ukitaka kufyatua ni mkoani na sio dsm
Wanajipendekeza ili waonewe huruma kwani kampuni yao mama ststiol Tanzania ilipigwa pini
Wanahaha kuona km Equinor itatiki vizuri make wameishaikatia tamaa
We acha kuongea uongo
Hiyo barabara imeisha mmeshindwa kumaliza ya Rubya to Muleba mwaka wa nne sasa kilometre kidogo mtaweza ya nshamba?
Kituo kipi cha afya unachobwabwaja nacho
Nshamba kuna kituo gan tofauti na kutegemea cha Lutheran na hospital ya Rubya uwe na oja ya msingi
Na pesa...
Gb 1 wameikimbiza mpaka nkashangaa
Kulikuwepo na kifurushi cha wiki cha 2500 mitandao yote jana nakuja kujiunga nakuta et dk 70 nazo zinatumika kuanzia saa nne uck mpaka saa kumi na moja nkajiuliza nimekuwa mwanafunzi mie voda mnakela
Kuwaisha mshahara sawa, ila ajira hapana
Kuongezewa mshahara hapana labda km mliongeza kwa kujuana na kuitana mezani kumpandishia mmoja mmoja
Kuhusu kupandisha madaraja apo janga ila yaweza mlio watuma ndo walibugi
Mikopo labda km ni watumishi wa serikali kuu ndo mmewapa ila hawa wa chini...
Mwanza pale kuna ziwa kuanzia kisesa Busekwa Nyansia uko maji hamna wanachota kwenye madimbwi ya mifugo
Imekaliwa na ccm
Nenda mkoa wa kagera Muleba
Wamezungukwa na ziwa
Hamna maji vijiji vyote kuanzia wilayan naomba ccm wawe wapinzan hawamu moja wajifunze na waache dharau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.