Recent content by Malegejo Fulubenda

  1. M

    Mene mene tekeli na peresi - Lema

    Umechanganya mada. Aliyeishi kama mnyama ni mfalme Nebukadneza wakati hayo maneno MENE MENE PERESI NA TEKELI aliambiwa mfalme Belshaza. Soma vizuri Biblia yako na epuka kutumia maandiko matakatifu bila kufanya utafiti wa kutosha.
Back
Top Bottom