LOWASA ni CCM, ndiko alizaliwa na kukulia, mnashangaa vipi akirudi? Pia ukiwa CCM siyo fisadi ukienda tu upinzani unakuwa fisadi! Hongera CCM kwa kazi nzuri.
Nothing can stop OPPOSITION PARTIES! Tumieni pesa kuhonga, kamateni wapinzani, wapigeni mapanga, pigeni risasi, filisini mali zao; kamwe UPINZANI hautakufa! CCM ipo kwa kudra za POLISI, TUME FEKI YA UCHAGUZI na WATU WASIOJULIKANA!
KWA HERI MWAKA 2017, KWA HERI MAUMIVU!
Mwaka 2017 umemalizika leo tarehe 31.12.2017. Tuliuanza wengi, baadhi yetu tunaumaliza huku wengine tukiwa tumewaacha njiani, hawajafikia mwisho!
Mwaka 2017 umekuwa wa mafanikio kwa baadhi ya watu (wachache sana) huku watu wengi wakiwa wameachiwa maumivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.