Kwa umri wa mtoa mada ni haki yake kuchoka. Prof ameuliza kama jambazi moja limewatoroka wenzake na kuja kueleza mipango ya majambazi waliobaki mafichoni mtaliua au mtalitumia ili mpate kujua mbinu za majambazi?
Tutampaje MTU asiyejua shida zetu, ili iweje, tupige mbizi au tukauziane mali ya Wa Tanzania kama alivyozoea? La hasha hatumpi ng'o. Uraisi,ubunge,udiwani na serikali za mitaa vyote mali ya umma kupitia UKAWA.
Kwa uwezo wako duni wa kudadavua mambo ulitegemea kumwelewa Prof. Hata kutafakari kabla huna uwezo nako lakini una haki ya kuchangia hata kama mchango wako hautakuwa na matokeo.
Mleta hoja za miti mirefu tafadhali acha kutupotezea muda na ramli zako. Bado unaishi dunia ya giza, wenzako wanafanya utafiti wa kisayansi we unaenda kwa toboa tobo halafu unategemea mabadiriko?
Ni kwa sababu ya kuvimbiwa wanafikiri Tz ni yao peke yao na sisi wengine wapangaji toka nje ya nje. Uwezo wa mleta mada ni mdogo mno ni afadhali kumsamehe tu. Mara zote mwenye busara habishani na mwenye upungufu kama alionao mleta mada.
Njia bora ya mafanikio ni kuwa mkweli na kuwaheshimu wengine. Kuwaminisha watz kuwa el hana wafuasi wakati tunaona ni kutufanya wajinga wa 1947. Pole kwa mshituko!
Ni makosa unanza kufanya kijana wangu, jitahidi sana kusmamia unachoamini acha kutumiwa na wanasiasa utapoteza heshima uliyokwisha vuna. Heshima hainunuliwi kwa pesa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.