Walimu msituhusiahe na matatizo yenu maana mfumo mnaujua wenyewe,haya manunguniko msinungunike hizani,
Uchaguzi uliisha mnapaswa kuchapa kazi siyo fimbo,maana sheria na kanuni mnazijua wenyewe kwa hiyo jitahidini muwe mnajaza progress kotekote kwa haki,
Ombeni time sasa ichunguze kwa nn...
Ipo hivi Kuna siku kitima alisema nchi Ina corona na alimchana jpm makavu mwisho wa siku jpm alisepa sasa nadhani baada ya hapo mtaona kinatokea nn?mara nyingi hawa maskofu inapofikia hatua wanakua soft basi jua kuna jambo linakuja,
Siyo hivyo TU hata makampuni ya fedha kama maboto ukiba balance uwalipe ni mgogoro mkubwa. Utadhani MABOTO nchii hii yupo juu ya sheria kuna ushahidi wa walimu kunyanyaswa sana,BOT tunaomba wachukue hatua maana Sheria IPO wazi,
Kuna vijana wengi mitaani wanasubiri ajira lakini hakuna ajira ,ili waendelee kusubiri lazma tutafute utaratibu wa kuwakopesha kwa degree ya pili hii itaondoa vijana tegemezi kwenye familia zetu,maama hawana KAZI ya kufanya wanakula ugari tu
Hebu jiulize nurse anapewa million 28 akistaafu,kikokotoo ni ridandance tosha kwa mtumishi mwenye akili anapaswa kuachaa kazi mapema sana,serilkali haisemi tu kwamba watumishi wapishe,ila ujanja ujanja inaleta mifumo ambayo watumishi wachukie kazi,
Viongozi wa Cwt wanajibu hoja mahakamani kwa ufisadi unadhani nani atakusemea,nawashauri twende katoro
RIZIWANI ALIKUA TABORA ILA HAJAELEWEKA MAELEZO YAKE NA MAELEKEZO,WANALAUMIWA AFISA UTUMISHI,BADALA YA MASHARITI YAO YA PEPMISS SCORE,HARIIIIIIII JAMANI NASHAURI TUTAFUTE NAULI TUSEPE KATORO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.