umaskini!kama we TAJIRI KIVYAKO!TUNAONGELEA AJIRA MPYA WE UNAZUNGUMZIA UMASKINI!KAMA WE TAJIRI UNGEKUWA UNAISHI DUNIA YA KWANZA,LAKINI DUNIA YA TATU NA UNAWAONGEA WENZAKO MASKIN............POOR MIND...................UMEFILISIKA HOJA.....NA UNAPRETEND TAJIRI
Unapokuwa unasubiri jambo,na kwa mapana yake ,wahusika wenye dhamana haswa viongozi walio na dhamana ya kuaminisha au kuondolea utata jambo hilo wanapokuja na kauli za kilaghai na kitapeli,huu ni utesaji na kutoa mateso kwa yule anayesubiri jambo hilo tena kwa muda mrefu sana.Hapa nazungumzia...
Mwaka jana serikali iliidhinisha katika bunge la budget fedha za wizara ya elimu haswa mpaka ile ya mafunzo kwa vitendo kwa walimu wa diploma.Wonderful enough mpaka leo walimu sisi,kwa mujibu wa btp iliyoanza tarehe 03 mwezi huu wa tatu tumepewa hela za siku kumi tu badala ya 46 na zilizobaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.