Recent content by MAKUNE Jr Jr

  1. M

    Mwenye Update za Mwanza Community Bank

    kila la heri, ila mm nlfka mcb kuulizia kama kuna kazi ziltangazwa kupitia quality service jibu nililoambiwa ni hakuna tangazo la kazi kuptia quality service
  2. M

    Jihadharini na huu Utapeli

    nimefika ofisi za mwanza comunity bank hapa mwanza hakuna cha tangazo la kazi wala cha QUALITY SERVICE GROUP hata ukitafuta kwenye internet hakuna recruitment group hapa tanzania inayoitwa quality sevice group hawa ni wezi tu, nashangaa kwa nini MCB wamekaa kimya kwa hili suala mpaka sisi wadau...
  3. M

    Jihadharini na huu Utapeli

    huyu ni tapeli kweli, mm nimeenda hadi ofisi za mwanza community bank kuulizia hili suala, cha ajabu mcb wamekanusha kuwa na tangazo la kazi kwa miezi hii ya karibuni yaani ndani 2014, kuweni makin na hawa jamaa wanaojiita QUQLITY SERVICE GROUP, akina MWESIGA PIUS ni wezi wqa kwenye mitandao...
Back
Top Bottom