wewe usiyefuatilia ccm ndo unasema ccm imekufa ila kwa wale wanaokifuatilia hakijafa labda tu kwa kuwa umeegemea kwa lowasa ndo mana unasema kimekufa.....subiri tar 25 ndo upate jibu kuwa ccm imekufa ikiwa lowasa atakuwa raisi wa tz lakini sio kwa sasa ambapo kila mmoja anawika kwa staili yake.
aliyekuambia kuwa yule ni mgombea wa ukawa nani?acha kujidanganya na kama haujui ukawa sio chama na ndo mana hata kwenye taasisi ya vyama haikipo....na huyo lowasa anasimama kwenye chama cha chadema hivyo yani kama ulikuwa hujui.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.